Swali: Majanga yanayowafika waislamu hii leo ni kutokamana na madhambi yao?
Jibu: Bila ya shaka:
وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ
“Haukusibuni katika msiba wowote, basi ni kutokana ya yale yaliyochuma mikono yenu na anasamehe mengi.”[1]
[1] 42:30
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
- Imechapishwa: 28/12/2017
Swali: Majanga yanayowafika waislamu hii leo ni kutokamana na madhambi yao?
Jibu: Bila ya shaka:
وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ
“Haukusibuni katika msiba wowote, basi ni kutokana ya yale yaliyochuma mikono yenu na anasamehe mengi.”[1]
[1] 42:30
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/tunateswa-na-kuadhibiwa-kwa-madhambi-yetu/