Swali: Je, ni wajibu kwetu kuwasaidi waislamu hata kama yaliyowafika ni kutokamana na madhambi yao?
Jibu: Ndio:
إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ
“Hakika waumini ni ndugu.”[1]
Muislamu anatakiwa kumsaidia ndugu yake:
”Mfano wa waislamu ni kama jengo moja; upande mmoja unaupa nguvu upande mwingine.”[2]
”Mfano wa waislamu katika kupendana kwao, kuhurumiana kwao na kuwa na hisia ni kama kiwiliwili kimoja. Pindi kiungo kimoja kinapohisi maumivu, basi mwili mzima unapatwa na homa na kukosa usingizi.”[3]
Waumini ni ndugu. Wanafurahishwa na yale yenye kuwafurahisha ndugu zao na wanapatwa na uchungu kwa yale yanayowapa uchungu ndugu zao.
[1] 49:10
[2] al-Bukhaariy (2446) na Muslim (2585).
[3] Muslim (2586).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
- Imechapishwa: 28/12/2017
Swali: Je, ni wajibu kwetu kuwasaidi waislamu hata kama yaliyowafika ni kutokamana na madhambi yao?
Jibu: Ndio:
إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ
“Hakika waumini ni ndugu.”[1]
Muislamu anatakiwa kumsaidia ndugu yake:
”Mfano wa waislamu ni kama jengo moja; upande mmoja unaupa nguvu upande mwingine.”[2]
”Mfano wa waislamu katika kupendana kwao, kuhurumiana kwao na kuwa na hisia ni kama kiwiliwili kimoja. Pindi kiungo kimoja kinapohisi maumivu, basi mwili mzima unapatwa na homa na kukosa usingizi.”[3]
Waumini ni ndugu. Wanafurahishwa na yale yenye kuwafurahisha ndugu zao na wanapatwa na uchungu kwa yale yanayowapa uchungu ndugu zao.
[1] 49:10
[2] al-Bukhaariy (2446) na Muslim (2585).
[3] Muslim (2586).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/kuwasaidia-waislamu-kwa-hali-yoyote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)