Swali: “Ee Uliye hai, Mwenye kuyasimamia mambo yote, ninaomba uokozi kwa huruma Yako.” Vipi nitaoanisha kati ya hili na makatazo ya kuomba sifa?
Jibu: Huku sio kuomba sifa. Huku ni kufanya Tawassul kwa sifa. Ni kama mfano wa kuomba:
“Ninakuomba kwa majina na sifa Zako.”
Kwa (biy) huku ni kufanya Tawassul kwa majina na sifa za Allaah. Huruma ni moja katika sifa za Allaah (Subhaanah). Hivyo ni kutawassul kwa sifa. Sio kuomba du´aa kwa sifa. Hakusema:
“Ee huruma ya Allaah.”
Hakuomba sifa ya huruma ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2134
- Imechapishwa: 10/07/2020
Swali: “Ee Uliye hai, Mwenye kuyasimamia mambo yote, ninaomba uokozi kwa huruma Yako.” Vipi nitaoanisha kati ya hili na makatazo ya kuomba sifa?
Jibu: Huku sio kuomba sifa. Huku ni kufanya Tawassul kwa sifa. Ni kama mfano wa kuomba:
“Ninakuomba kwa majina na sifa Zako.”
Kwa (biy) huku ni kufanya Tawassul kwa majina na sifa za Allaah. Huruma ni moja katika sifa za Allaah (Subhaanah). Hivyo ni kutawassul kwa sifa. Sio kuomba du´aa kwa sifa. Hakusema:
“Ee huruma ya Allaah.”
Hakuomba sifa ya huruma ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2134
Imechapishwa: 10/07/2020
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-kufanya-tawassul-na-kuomba-kwa-sifa-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)