Swali: Anakufuru mwenye kumlinganisha Muumbaji na viumbe?
Jibu: Ikiwa ni mjuzi wa hilo anakufuru. Ama ikiwa ni mjinga abainishiwe ya kwamba kitendo hichi ni batili na hakijuzu. Akiendelea na asikubali ahukumiwe kufuru. Kwa kuwa amesawazisha baina ya Allaah na viumbe Wake. Huku ni kumtukana Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2134
- Imechapishwa: 10/07/2020
Swali: Anakufuru mwenye kumlinganisha Muumbaji na viumbe?
Jibu: Ikiwa ni mjuzi wa hilo anakufuru. Ama ikiwa ni mjinga abainishiwe ya kwamba kitendo hichi ni batili na hakijuzu. Akiendelea na asikubali ahukumiwe kufuru. Kwa kuwa amesawazisha baina ya Allaah na viumbe Wake. Huku ni kumtukana Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2134
Imechapishwa: 10/07/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-anayemlinganisha-allaah-na-viumbe-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)