Swali: Mwenye kumsengenya mtu kisha akatubu. Baadae akaja na kuomba msamaha lakini msengenywaji akawa amekataa isipokuwa mpaka apewe pesa kiwango fulani. Je, ni lazima kwa yule msengenyaji kumpa kiwango cha pesa hizo?
Jibu: Ikiwa ni kwa malengo la kumsamehe ampe. Mali ni kitu kidogo ukilinganisha na adhabu na kisasi siku ya Qiyaamah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2134
- Imechapishwa: 10/07/2020
Swali: Mwenye kumsengenya mtu kisha akatubu. Baadae akaja na kuomba msamaha lakini msengenywaji akawa amekataa isipokuwa mpaka apewe pesa kiwango fulani. Je, ni lazima kwa yule msengenyaji kumpa kiwango cha pesa hizo?
Jibu: Ikiwa ni kwa malengo la kumsamehe ampe. Mali ni kitu kidogo ukilinganisha na adhabu na kisasi siku ya Qiyaamah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2134
Imechapishwa: 10/07/2020
https://firqatunnajia.com/msengenywaji-anataka-apewe-pesa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)