Swali: Kujitolea matumizi kuwapa jamaa wa karibu ni kuunga kizazi?
Jibu: Ni swadaqah na kuunga kizazi. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Swadaqah kumpa masikini ni swadaqah na kuwapa jamaa inakuwa [thawabu] mara mbili; swadaqah na kuunga kizazi.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24324/ما-فضل-الانفاق-على-الاقارب
- Imechapishwa: 28/09/2024
Swali: Kujitolea matumizi kuwapa jamaa wa karibu ni kuunga kizazi?
Jibu: Ni swadaqah na kuunga kizazi. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Swadaqah kumpa masikini ni swadaqah na kuwapa jamaa inakuwa [thawabu] mara mbili; swadaqah na kuunga kizazi.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24324/ما-فضل-الانفاق-على-الاقارب
Imechapishwa: 28/09/2024
https://firqatunnajia.com/thawabu-mara-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket