Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye anadhihirisha baadhi ya mambo mbele ya umati wa watu na huku akidai kuwa ni karama?
Jibu: Kuna kidhibiti kilichotajwa na Allaah. Karama hazimpitikii isipokuwa yule aliye muumini na mchaji Allaah. Usiyatazame yale mambo anayofanya yasiyokuwa ya kawaida.
Yatazame matendo yake. Ikiwa matendo yake ni mema, basi yale anayofanya yanazingatiwa kuwa ni karama kutoka kwa Allaah. Na ikiwa matendo yake ni maovu, yanazingatiwa kuwa ni mambo yasiyokuwa ya kawaida kutoka kwa shaytwaan kwa lengo la kumpotosha yeye na kuwafanya wengine kupotea kupitia yeye. Msisahau kidhibiti hichi kilicho katika Qur-aan.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (01) http://alfawzan.af.org.sa/node/2044
- Imechapishwa: 06/10/2016
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye anadhihirisha baadhi ya mambo mbele ya umati wa watu na huku akidai kuwa ni karama?
Jibu: Kuna kidhibiti kilichotajwa na Allaah. Karama hazimpitikii isipokuwa yule aliye muumini na mchaji Allaah. Usiyatazame yale mambo anayofanya yasiyokuwa ya kawaida.
Yatazame matendo yake. Ikiwa matendo yake ni mema, basi yale anayofanya yanazingatiwa kuwa ni karama kutoka kwa Allaah. Na ikiwa matendo yake ni maovu, yanazingatiwa kuwa ni mambo yasiyokuwa ya kawaida kutoka kwa shaytwaan kwa lengo la kumpotosha yeye na kuwafanya wengine kupotea kupitia yeye. Msisahau kidhibiti hichi kilicho katika Qur-aan.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (01) http://alfawzan.af.org.sa/node/2044
Imechapishwa: 06/10/2016
https://firqatunnajia.com/tazama-matendo-yake-na-si-yale-anayofanya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)