Swali: Ambaye anachelea kukosa swalah ya jeneza afanye Tayammum ili isimpite?
Jibu: Hapana, halina msingi:
فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا صَعِيدًا طَيِّبًا
“… na msipate maji, basi kusudieni [fanyeni Tayammum kwa] udongo ulio safi.”[1]
[1] 05:06
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23573/هل-يتيمم-من-يخشي-فوت-صلاة-الجنازة
- Imechapishwa: 15/02/2024
Swali: Ambaye anachelea kukosa swalah ya jeneza afanye Tayammum ili isimpite?
Jibu: Hapana, halina msingi:
فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا صَعِيدًا طَيِّبًا
“… na msipate maji, basi kusudieni [fanyeni Tayammum kwa] udongo ulio safi.”[1]
[1] 05:06
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23573/هل-يتيمم-من-يخشي-فوت-صلاة-الجنازة
Imechapishwa: 15/02/2024
https://firqatunnajia.com/tayammum-kwa-ajili-ya-kuwahi-swalah-ya-jeneza/