Swali: Wasichana inapofika Ramadhaan wanakusanyika katika nyumba ya mmoja wao na wanaswali swalah ya Tarawiyh mkusanyiko. Je, kitendo hichi kinafaa au ni katika Bid´ah? Sisi katika kijiji hicho hatwendi msikitini na wanamme kwa sababu ya kuchelea fitina.
Jibu: Hili ni zuri na haina neno. Hapana vibaya wakiswali pamoja Tarawiyh mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/14490/حكم-اجتماع-النساء-لصلاة-التراويح
- Imechapishwa: 08/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket