Swali: Mwanaume akimtaliki mke wake mara tatu kwa mpigo mmoja – je, inahesabiwa ni talaka moja au talaka tatu?
Jibu: Kikosi kikubwa cha wanazuoni kinaona kuwa inahesabiwa ni talaka tatu. Hivo ndivo yanavosema madhehebu. Wakati wa ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) wakati alipoona watu wanachukulia wepesi suala la talaka, alipitisha talaka tatu zinazopigwa kwa mpigo mmoja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
- Imechapishwa: 29/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)