Kuhusiana na tafsiri ya kundi la nne ambalo linazidhoofisha Hadiyth zote, sio maoni ya watu wanaozingatiwa. Kwa ajili hiyo yapuuzwe. Ni vijihoja tu vya Ahl-ul-Ahwaa´ wal-Bid´ah, kwa sababu elimu yao ni dhaifu na fahamu zao ni finyu. Kwa hivyo hawakupata kitu ambacho ni chepesi zaidi kwao zaidi ya kusema kuwa zote hizo zinagongana na hivyo wakazibatilisha zote.
- Mhusika: Imaam Abu ´Ubayd al-Qaasim bin Sallaam
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-ul-Iymaan, uk. 77-78
- Imechapishwa: 29/06/2023
- taaliki: Imaam Muhammad Naawswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)