Swali: Je, swalah ya mamkuzi ya msikiti baada ya ´Aswr inadondoka?
Jibu: Hapana, ni katika zile swalah zinazoswaliwa kutokana na sababu. Aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti. Akiingia msikitini aswali swalah ya mamkuzi ya msikiti baada ya ´Aswr na baada ya Fajr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23691/هل-تسقط-تحية-المسجد-بعد-العصر-والفجر
- Imechapishwa: 05/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)