Swali: Unawanasihi nini vijana katika ulimwengu wa Kiislamu inapokuja katika kutahadhari na ISIS?
Jibu: Nawanasihi vijana watahadhari nao na washikamane na watawala na wanachuoni wa miji. Vilevile wajifunze na waeielewe dini ya Allaah. Wanatakiwa wahadhari makundi haya yanayoenda kinyume na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Wasome, wawe pamoja na watawala wao na wanachuoni na wajibidishe na elimu ya Kishari´ah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=goriX5OSrsw
- Imechapishwa: 12/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket