Swali: Unawanasihi nini vijana katika ulimwengu wa Kiislamu inapokuja katika kutahadhari na ISIS?
Jibu: Nawanasihi vijana watahadhari nao na washikamane na watawala na wanachuoni wa miji. Vilevile wajifunze na waeielewe dini ya Allaah. Wanatakiwa wahadhari makundi haya yanayoenda kinyume na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Wasome, wawe pamoja na watawala wao na wanachuoni na wajibidishe na elimu ya Kishari´ah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=goriX5OSrsw
- Imechapishwa: 12/11/2016
Swali: Unawanasihi nini vijana katika ulimwengu wa Kiislamu inapokuja katika kutahadhari na ISIS?
Jibu: Nawanasihi vijana watahadhari nao na washikamane na watawala na wanachuoni wa miji. Vilevile wajifunze na waeielewe dini ya Allaah. Wanatakiwa wahadhari makundi haya yanayoenda kinyume na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Wasome, wawe pamoja na watawala wao na wanachuoni na wajibidishe na elimu ya Kishari´ah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=goriX5OSrsw
Imechapishwa: 12/11/2016
https://firqatunnajia.com/tafuta-elimu-na-tahadhari-na-isis/