Swali: Mwenye kufunga Sitta Shawwaal na ilihali yuko na deni la Ramadhaan. Je, Swawm yake ni sahihi?
Jibu: Kunatarajiwa kuwa ni sahihi lakini hata hivyo amekosea. Lililo la wajibu ni yeye atangulize kwanza faradhi na kulipa deni lililo juu yake la Ramadhaan mwanzoni wa Shawwaal kisha baada ya hapo ndio afunge Sitta Shawwaal. Kwa kuwa katika Hadiyth imekuja:
“Atakayefunga Ramadhaan na akaifuatisha na Sitta Shawwaal.”
Mwenye deni hakufunga Ramadhaan yote. Anachotakiwa ni kulipa kwanza madeni alonayo kisha ndio afunge Sitta katika masiku yatayokuwa yamebaki katika [mwezi wa] Shawwaal.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205841
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Mwenye kufunga Sitta Shawwaal na ilihali yuko na deni la Ramadhaan. Je, Swawm yake ni sahihi?
Jibu: Kunatarajiwa kuwa ni sahihi lakini hata hivyo amekosea. Lililo la wajibu ni yeye atangulize kwanza faradhi na kulipa deni lililo juu yake la Ramadhaan mwanzoni wa Shawwaal kisha baada ya hapo ndio afunge Sitta Shawwaal. Kwa kuwa katika Hadiyth imekuja:
“Atakayefunga Ramadhaan na akaifuatisha na Sitta Shawwaal.”
Mwenye deni hakufunga Ramadhaan yote. Anachotakiwa ni kulipa kwanza madeni alonayo kisha ndio afunge Sitta katika masiku yatayokuwa yamebaki katika [mwezi wa] Shawwaal.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205841
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/swawm-yake-ni-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)