Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga mwezi wa Sha´baan na mtu afunge mwezi mzima au afunge baadhi ya siku?
Jibu: Ni kama jinsi mlivyosikia katika Khutbah ya kwamba imependekezwa kufunga katika mwezi wa Sha´baan. Lakini mtu asifungi mwezi mzima. Bali afunge nyingi yazo au atakazoweza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga mwezi wa Sha´baan na mtu afunge mwezi mzima au afunge baadhi ya siku?
Jibu: Ni kama jinsi mlivyosikia katika Khutbah ya kwamba imependekezwa kufunga katika mwezi wa Sha´baan. Lakini mtu asifungi mwezi mzima. Bali afunge nyingi yazo au atakazoweza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-shabaan-2/