Swali: Nasumbuliwa na kutokwa na manii katika siku za mchana wa Ramadhaan bila ya kuota wala kujichukua sehemu ya siri. Je, mambo haya yana taathira yoyote juu ya swawm?
Jibu: Ikiwa mambo ni kama ulivotaja basi kutokwa kwako na manii bila ya ladha mchana wa Ramadhaan hakuathiri swawm yako na wala huhitajii kulipa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (10645)
- Imechapishwa: 26/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket