Swali: Kulikuwa kuna muda kiasi gani kati ya daku na swalah ya Fajr?
Jibu: Wakati wa daku unaenda mpaka kuingia kwa alfajiri. Amesema (Ta´ala):
وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ
“Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu uzi mweupe wa alfajiri kutokana na uzi mweusi.” (02:187)
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Bilaal anaadhini usiku. Hivyo kuleni na kunyweni mpaka aadhini Ibn Umm Maktuum.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Ibn Umm Maktuum alikuwa ni kipofu na haadhini mpaka aambiwe kumepambazuka. Imependekezwa kuchelewesha daku.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
[1] Maalik (01/74), Muslim (02/768), at-Tirmidhiy (203) na wengineo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (5611)
- Imechapishwa: 26/04/2020
Swali: Kulikuwa kuna muda kiasi gani kati ya daku na swalah ya Fajr?
Jibu: Wakati wa daku unaenda mpaka kuingia kwa alfajiri. Amesema (Ta´ala):
وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ
“Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu uzi mweupe wa alfajiri kutokana na uzi mweusi.” (02:187)
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Bilaal anaadhini usiku. Hivyo kuleni na kunyweni mpaka aadhini Ibn Umm Maktuum.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Ibn Umm Maktuum alikuwa ni kipofu na haadhini mpaka aambiwe kumepambazuka. Imependekezwa kuchelewesha daku.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
[1] Maalik (01/74), Muslim (02/768), at-Tirmidhiy (203) na wengineo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (5611)
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/kuna-muda-kiasi-gani-kati-ya-daku-na-swalah-ya-fajr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)