Swali: Mtu akiwa amefunga Ramadhaan na anasafiri kwenda nchi nyingine na hakupata kitu isipokuwa maji peke yake. Ni vipi atatatua tatizo hili?
Jibu: Ikiwa mtu amefunga na jua likazama na asipate futari zaidi ya maji, basi akate swawm kwa maji. Kwa sababu kukata swawm kwa tende tosa au tende za kawaida ni jambo limependekezwa na sio lazima.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (5611)
- Imechapishwa: 26/04/2020
Swali: Mtu akiwa amefunga Ramadhaan na anasafiri kwenda nchi nyingine na hakupata kitu isipokuwa maji peke yake. Ni vipi atatatua tatizo hili?
Jibu: Ikiwa mtu amefunga na jua likazama na asipate futari zaidi ya maji, basi akate swawm kwa maji. Kwa sababu kukata swawm kwa tende tosa au tende za kawaida ni jambo limependekezwa na sio lazima.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (5611)
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/futari-ya-maji-peke-yake-inazingatiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)