Swali: Je, I´tikaaf inashurutisha mtu afunge?
Jibu: Haishurutishi. Hii ni miongoni mwa dalili ya kutoshurutishwa kufunga. Kwa sababu usiku sio wakati wa kufunga. Kwa ajili hiyo Ibn ´Abbaas amesema.
“Sio lazima kwa mwenye kukaa I´tikaaf afunge, isipokuwa akijilazimisha nayo mwenyewe.”
Hata hivyo bora ni mtu afunge pia akiweza kufanya hivo wakati wa mchana.
Swali: Ni yepi majibu juu ya Hadiyth hii wale wenye kuona kuwa ni sharti kwa mwenye kukaa I´tikaaf kufunga?
Jibu: Hawana dalili. Pengine wanajengea hoja kwa masimulizi ya ´Aaishah aliposema:
“Hakuna I´tikaaf isipokuwa kwa kufunga.”
Hata hivyo maneno ya ´Aaishah yanapingana na maneno ya Ibn ´Abbaas. Msingi ni kutokuwepo sharti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23821/هل-يشترط-الصوم-في-الاعتكاف
- Imechapishwa: 15/05/2024
Swali: Je, I´tikaaf inashurutisha mtu afunge?
Jibu: Haishurutishi. Hii ni miongoni mwa dalili ya kutoshurutishwa kufunga. Kwa sababu usiku sio wakati wa kufunga. Kwa ajili hiyo Ibn ´Abbaas amesema.
“Sio lazima kwa mwenye kukaa I´tikaaf afunge, isipokuwa akijilazimisha nayo mwenyewe.”
Hata hivyo bora ni mtu afunge pia akiweza kufanya hivo wakati wa mchana.
Swali: Ni yepi majibu juu ya Hadiyth hii wale wenye kuona kuwa ni sharti kwa mwenye kukaa I´tikaaf kufunga?
Jibu: Hawana dalili. Pengine wanajengea hoja kwa masimulizi ya ´Aaishah aliposema:
“Hakuna I´tikaaf isipokuwa kwa kufunga.”
Hata hivyo maneno ya ´Aaishah yanapingana na maneno ya Ibn ´Abbaas. Msingi ni kutokuwepo sharti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23821/هل-يشترط-الصوم-في-الاعتكاف
Imechapishwa: 15/05/2024
https://firqatunnajia.com/swawm-sio-sharti-ya-itikaaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)