Swali: Makusudio ya maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kutaka kukaa I´tikaaf… “
Bi maana mwenye kuingia?
Jibu: Kabla ya kuingia. Ametaka lakini hajakamilisha. I´tikaaf inapendeza. Ni jambo la kujitolea. Hapana vibaya endapo atajiondoa. Kama ambavo hapana vibaya pia ikiwa atafanya I´tikaaf.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23822/حكم-من-اراد-الاعتكاف-ثم-بدا-له-ان-يخرج
- Imechapishwa: 15/05/2024
Swali: Makusudio ya maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kutaka kukaa I´tikaaf… “
Bi maana mwenye kuingia?
Jibu: Kabla ya kuingia. Ametaka lakini hajakamilisha. I´tikaaf inapendeza. Ni jambo la kujitolea. Hapana vibaya endapo atajiondoa. Kama ambavo hapana vibaya pia ikiwa atafanya I´tikaaf.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23822/حكم-من-اراد-الاعتكاف-ثم-بدا-له-ان-يخرج
Imechapishwa: 15/05/2024
https://firqatunnajia.com/anayetaka-kukaa-itikaaf-kisha-akajiondoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)