Swali 198: Kikosi cha watu walioko katika mji wanatakiwa kuswali msikitini au nyumbani pamoja na kwamba wanasikia adhaana?
Jibu: Wana haki ya kuswali kwa kupunguza nyumbani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 86
- Imechapishwa: 19/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 198: Kikosi cha watu walioko katika mji wanatakiwa kuswali msikitini au nyumbani pamoja na kwamba wanasikia adhaana?
Jibu: Wana haki ya kuswali kwa kupunguza nyumbani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 86
Imechapishwa: 19/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mkusanyiko-juu-ya-kikosi-cha-watu/