Swali: Ni vipi inaswaliwa swalah baina ya adhaana na iqaamah?
Jibu: Swalah ya ijumaa haina Raatibah kabla yake. Aswali kile kiwango atachoweza kabla yake. Aswali Rak´ah mbili, nne, nane au kumi. Hakuna kikomo maalum. Aswali kile kiasi atachoweza. Kiwango cha chini kabisa ni Rak´ah mbili kabla ya ijumaa. Haina Raatibah kabla yake. Aswali kile kiasi atachoweza. Bora aswali Rak´ah nne [baada yake] kwa Tasliym mbili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22578/هل-لصلاة-الجمعة-راتبة-قبلها
- Imechapishwa: 06/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)