Swali: Mtu anayekuja njiani na akakuta kuna kikosi cha watu wanaswali na akajiunga kwa nia ya kuswali pamoja nao. Lakini hata hivyo akasahau kuleta Takbiyrat-ul-Ihraam na asikumbuke hilo isipokuwa katika Rak´ah ya pili. Je, swalah yake ni sahihi au ni batili kwa sababau amesahau nguzo [ya swalah]?
Jibu: Swalah iliyokusudiwa sio sahihi. Kwa sababu hakuleta Takbiyrat-ul-Ihraam ambayo ni nguzo kwa maafikiano ya waislamu. Swalah haifunguki isipokuwa kwayo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/273)
- Imechapishwa: 31/10/2021
Swali: Mtu anayekuja njiani na akakuta kuna kikosi cha watu wanaswali na akajiunga kwa nia ya kuswali pamoja nao. Lakini hata hivyo akasahau kuleta Takbiyrat-ul-Ihraam na asikumbuke hilo isipokuwa katika Rak´ah ya pili. Je, swalah yake ni sahihi au ni batili kwa sababau amesahau nguzo [ya swalah]?
Jibu: Swalah iliyokusudiwa sio sahihi. Kwa sababu hakuleta Takbiyrat-ul-Ihraam ambayo ni nguzo kwa maafikiano ya waislamu. Swalah haifunguki isipokuwa kwayo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/273)
Imechapishwa: 31/10/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-ambaye-amesahau-takbiyrat-ul-ihraam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)