Swali: Wengi wanaswali Ramadhaan peke yake. Ni kipi unachowanasihi?
Jibu: Nawanasihi kumcha Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika wakati wote, katika Ramadhaan na kwenginepo. Mtu ameamrishwa kumcha Allaah mpaka wakati wa kuaga dunia. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَاعْبُدْ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأْتِيَكَ الْيَقِينُ
“… na mwabudu Mola wako mpaka ikufikie yakini.” (15:99)
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/117)
- Imechapishwa: 30/04/2021
Swali: Wengi wanaswali Ramadhaan peke yake. Ni kipi unachowanasihi?
Jibu: Nawanasihi kumcha Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika wakati wote, katika Ramadhaan na kwenginepo. Mtu ameamrishwa kumcha Allaah mpaka wakati wa kuaga dunia. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَاعْبُدْ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأْتِيَكَ الْيَقِينُ
“… na mwabudu Mola wako mpaka ikufikie yakini.” (15:99)
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/117)
Imechapishwa: 30/04/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ramadhaan-pekee/