Swali 44: Je, mfungaji anafungua kwa kudungwa sindani ya mishipa?
Jibu: Mfungaji hafungui kwa kudungwa sindano kwenye mishipa au kwenginepo. Isipokuwa ikiwa sindano hizi zinasimama mahali pa chakula kwa njia ya kwamba mtu anaweza kujitosheleza kutokamana na chakula na kinywaji. Sindano za kawaida zisokuwa za lishe hazifunguzi kabisa. Ni mamoja sindano hizo zinadungwa kwenye mishipa au kwenginepo. Hilo ni kwa sababu sindano hizi sio kula wala kunywa na wala hazina maana ya kula na kunywa. Kujengea juu ya haya ni jambo linalokanushwa zikawa na hukumu ya kula na kunywa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 39
- Imechapishwa: 30/04/2021
Swali 44: Je, mfungaji anafungua kwa kudungwa sindani ya mishipa?
Jibu: Mfungaji hafungui kwa kudungwa sindano kwenye mishipa au kwenginepo. Isipokuwa ikiwa sindano hizi zinasimama mahali pa chakula kwa njia ya kwamba mtu anaweza kujitosheleza kutokamana na chakula na kinywaji. Sindano za kawaida zisokuwa za lishe hazifunguzi kabisa. Ni mamoja sindano hizo zinadungwa kwenye mishipa au kwenginepo. Hilo ni kwa sababu sindano hizi sio kula wala kunywa na wala hazina maana ya kula na kunywa. Kujengea juu ya haya ni jambo linalokanushwa zikawa na hukumu ya kula na kunywa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 39
Imechapishwa: 30/04/2021
https://firqatunnajia.com/44-je-mfungaji-anafungua-kwa-kudungwa-sindani-ya-mishipa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)