Swali: Swalah aliyokosa mtu anailipa kwa Rawaatib zake?
Jibu: Haikupokelewa kutajwa Rawaatib. Sijafikiwa na chochote juu ya hilo. Hata hivyo kuhusu Sunnah ya Fajr aiswali. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati alipoikidhi aliiswali pamoja na Sunnah yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23689/هل-تقضى-الرواتب-مع-الصلاة-الفاىتة
- Imechapishwa: 04/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket