Swali: Vipi ikiwa mtu atakumbuka swalah iliyompita katikati ya swalah?
Jibu: Maoni ya karibu – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwamba ataikamilisha kama swalah inayopendeza. Baada ya hapo ataswali ile swalah iliyompita, kisha ndio aswali swalah ya wakati wa sasa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23690/حكم-من-ذكر-فريضة-فاىتة-اثناء-اخرى
- Imechapishwa: 04/04/2024
Swali: Vipi ikiwa mtu atakumbuka swalah iliyompita katikati ya swalah?
Jibu: Maoni ya karibu – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwamba ataikamilisha kama swalah inayopendeza. Baada ya hapo ataswali ile swalah iliyompita, kisha ndio aswali swalah ya wakati wa sasa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23690/حكم-من-ذكر-فريضة-فاىتة-اثناء-اخرى
Imechapishwa: 04/04/2024
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-swalah-iliyompita-katikati-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)