Swali: Baadhi ya wanawake hujifungua baada ya kwamba umeshaingia muda wa swalah. Je, baada ya kutwahirika analazimika kulipa swalah ile ambayo ulifika wakati wake kabla ya yeye kuiswali?
Jibu: Halazimiki kuilipa ikiwa hakuzembea. Lakini ikiwa aliichelewesha mpaka wakati ukawa mfinyu kisha ndio akajifungua, basi atailipa baada ya kusafika kutoka katika damu ya uzazi. Mwanamke huyu ni kama mfano wa mwanamke mwenye hedhi akichelewesha swalah mpaka mwisho wa wakati wake kisha akapata hedhi. Mwanamke huyu anatakiwa kuilipa baada ya kusafika kwa sababu alizembea kwa kule kuichelewesha.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/229)
- Imechapishwa: 09/09/2021
Swali: Baadhi ya wanawake hujifungua baada ya kwamba umeshaingia muda wa swalah. Je, baada ya kutwahirika analazimika kulipa swalah ile ambayo ulifika wakati wake kabla ya yeye kuiswali?
Jibu: Halazimiki kuilipa ikiwa hakuzembea. Lakini ikiwa aliichelewesha mpaka wakati ukawa mfinyu kisha ndio akajifungua, basi atailipa baada ya kusafika kutoka katika damu ya uzazi. Mwanamke huyu ni kama mfano wa mwanamke mwenye hedhi akichelewesha swalah mpaka mwisho wa wakati wake kisha akapata hedhi. Mwanamke huyu anatakiwa kuilipa baada ya kusafika kwa sababu alizembea kwa kule kuichelewesha.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/229)
Imechapishwa: 09/09/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ambayo-imeingia-mwanamke-akiwa-na-damu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)