Swali: Kuna ndugu mmoja amenieleza kuwa baada ya Allaah amemshtakia tatizo lake mwanachuoni mmoja miongoni mwa wanachuoni wakubwa lililomfika yeye na watoto wake. Shaykh huyu akamwambia asome Suurat-ul-Anbiyaa´ wakati wa kulala kwa muda wa siku sabini kisha utamuona aliyekufanyia kijicho katika siku ile ya mwisho usingizini mwako. Je, afanyie kazi fatwa hii?
Jibu: Sijui kuwa ina msingi. Sijui dalili yoyote kuhusu hili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-29.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Kuna ndugu mmoja amenieleza kuwa baada ya Allaah amemshtakia tatizo lake mwanachuoni mmoja miongoni mwa wanachuoni wakubwa lililomfika yeye na watoto wake. Shaykh huyu akamwambia asome Suurat-ul-Anbiyaa´ wakati wa kulala kwa muda wa siku sabini kisha utamuona aliyekufanyia kijicho katika siku ile ya mwisho usingizini mwako. Je, afanyie kazi fatwa hii?
Jibu: Sijui kuwa ina msingi. Sijui dalili yoyote kuhusu hili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-29.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/suurat-ul-anbiyaa-na-kijicho/