Swali: Baadhi ya wanazuoni wanapinga adhaana ya msikiti Mtakatifu kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Ee Bilaal! Unapoadhini punguza kasi kidogo, na unapokimu ongeza kasi kidogo.”
Baadhi wanaifanya adhaana kama Iqaamah kwa maana ya kwamba hawaipunguzi kasi.
Jibu: Sunnah ni kupunguza kasi katika adhaana na kuharakisha wakati wa kukimu. Hii ndio Sunnah. Waadhini wa msikiti Mtakatifu wanarefusha na hawakhafifishi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22200/هل-السنة-في-الاذان-الترسل-ام-الحدر
- Imechapishwa: 04/11/2022
Swali: Baadhi ya wanazuoni wanapinga adhaana ya msikiti Mtakatifu kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Ee Bilaal! Unapoadhini punguza kasi kidogo, na unapokimu ongeza kasi kidogo.”
Baadhi wanaifanya adhaana kama Iqaamah kwa maana ya kwamba hawaipunguzi kasi.
Jibu: Sunnah ni kupunguza kasi katika adhaana na kuharakisha wakati wa kukimu. Hii ndio Sunnah. Waadhini wa msikiti Mtakatifu wanarefusha na hawakhafifishi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22200/هل-السنة-في-الاذان-الترسل-ام-الحدر
Imechapishwa: 04/11/2022
https://firqatunnajia.com/sunnah-ya-adhaana-na-iqaamah/