Swali: Je, imepokelewa katika Sunnah ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikula kwa zaidi ya vidole vitatu?
Jibu: Sikumbuki kitu kuhusu hilo. Hata hivyo ni jambo lenye wasaa.
Swali: Akila kwa vidole vitano?
Jibu. Hapana neno, jambo ni lenye wasaa. Hata hivyo bora ni kula kwa vidole vitatu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23262/حكم-الاكل-باكثر-من-ثلاث-اصابع
- Imechapishwa: 14/12/2023
Swali: Je, imepokelewa katika Sunnah ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikula kwa zaidi ya vidole vitatu?
Jibu: Sikumbuki kitu kuhusu hilo. Hata hivyo ni jambo lenye wasaa.
Swali: Akila kwa vidole vitano?
Jibu. Hapana neno, jambo ni lenye wasaa. Hata hivyo bora ni kula kwa vidole vitatu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23262/حكم-الاكل-باكثر-من-ثلاث-اصابع
Imechapishwa: 14/12/2023
https://firqatunnajia.com/sunnah-ni-kula-kwa-vidole-vitatu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)