Swali: Mwenye kwenda safari na wakawa na kuzuizi hajui lini atarejea; kuna uwezekano wa 50% kuwa atarudi na akaswali na wengine wenye hali kama yake ambapo wakafupisha na kukusanya swalah. Lakini baadaye kizuizi kikaondoka na wakarejea.
Jibu: Hapana, aswali Rak´ah nne, kwa sababu ni safari isiyokuwa na uhakika.
Swali: Wairudi swalah yao?
Jibu: Ndio hivyo. Waswali Rak´ah nne.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23259/حكم-قصر-الصلاة-للمتردد-في-السفر
- Imechapishwa: 14/12/2023
Swali: Mwenye kwenda safari na wakawa na kuzuizi hajui lini atarejea; kuna uwezekano wa 50% kuwa atarudi na akaswali na wengine wenye hali kama yake ambapo wakafupisha na kukusanya swalah. Lakini baadaye kizuizi kikaondoka na wakarejea.
Jibu: Hapana, aswali Rak´ah nne, kwa sababu ni safari isiyokuwa na uhakika.
Swali: Wairudi swalah yao?
Jibu: Ndio hivyo. Waswali Rak´ah nne.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23259/حكم-قصر-الصلاة-للمتردد-في-السفر
Imechapishwa: 14/12/2023
https://firqatunnajia.com/safari-isiyokuwa-na-uhakika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)