Swali: Ikiwa mtu anataka kuomba du´aa nje ya swalah inafaa asujudu ili awe karibu zaidi na Allaah?
Jibu: Aombe du´aa wakati wa Sujuud, ni kitu kinachopendeza. Ni moja ya sababu za kukubaliwa kwa du´aa.
Swali: Je, hili linafaa nje ya swalah?
Jibu: Hapana, hapana. Kufanya sijda peke yake nje ya swalah haijawekwa katika Shari´ah. Sujuud imesuniwa ndani ya swalah au kutokana na sababu maalum kama vile sijda ya kushukuru au sijda ya kisomo. Au kufanya ´ibaadah kwa kusujudu peke yake si jambo limewekwa katika Shari´ah. Makusudio alipomwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amsaidie kwa kusujudu kwa wingi maana yake ni kuswali kwa wingi. Hayo ndio makusudio yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24888/هل-يشرع-ان-يسجد-من-اراد-ان-يدعو-الله
- Imechapishwa: 27/12/2024
Swali: Ikiwa mtu anataka kuomba du´aa nje ya swalah inafaa asujudu ili awe karibu zaidi na Allaah?
Jibu: Aombe du´aa wakati wa Sujuud, ni kitu kinachopendeza. Ni moja ya sababu za kukubaliwa kwa du´aa.
Swali: Je, hili linafaa nje ya swalah?
Jibu: Hapana, hapana. Kufanya sijda peke yake nje ya swalah haijawekwa katika Shari´ah. Sujuud imesuniwa ndani ya swalah au kutokana na sababu maalum kama vile sijda ya kushukuru au sijda ya kisomo. Au kufanya ´ibaadah kwa kusujudu peke yake si jambo limewekwa katika Shari´ah. Makusudio alipomwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amsaidie kwa kusujudu kwa wingi maana yake ni kuswali kwa wingi. Hayo ndio makusudio yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24888/هل-يشرع-ان-يسجد-من-اراد-ان-يدعو-الله
Imechapishwa: 27/12/2024
https://firqatunnajia.com/sujuud-kwa-anayetaka-kumuomba-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)