Swali: Muislamu akivaa soksi kwa ajili ya kujitofautisha na Ahl-ul-Bid´ah, anazingatiwa kuwa ameihakikisha Sunnah?
Jibu: Hapana. Azivae tu kwa sababu ya haja. Asizivae iwapo atakuwa sio mwenye kuzihitaji, pasi na kujali sababu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 19/10/2016
Swali: Muislamu akivaa soksi kwa ajili ya kujitofautisha na Ahl-ul-Bid´ah, anazingatiwa kuwa ameihakikisha Sunnah?
Jibu: Hapana. Azivae tu kwa sababu ya haja. Asizivae iwapo atakuwa sio mwenye kuzihitaji, pasi na kujali sababu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 19/10/2016
https://firqatunnajia.com/soksi-kwa-ajili-ya-kujitofautisha-na-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)