Swali: Tunapotahadharisha mapote potevu na Ahl-ul-Bid´ah kuna watu wanaosema “msimtuhumu yeyote kwa ´Aqiydah yake”.
Jibu: Sisi hatumtuhumu yeyote kwa ´Aqiydah yake. Lakini sisi tunachukua kile tunachokiona. Ikiwa kuna mtu au kundi kunadhihiri kwake shari au Bid´ah, sisi tunatahadharisha watu naye. Ama midhali hadhahirishi kitu, sisi hatupekui yaliyomo kwenye mioyo ya watu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Tunapotahadharisha mapote potevu na Ahl-ul-Bid´ah kuna watu wanaosema “msimtuhumu yeyote kwa ´Aqiydah yake”.
Jibu: Sisi hatumtuhumu yeyote kwa ´Aqiydah yake. Lakini sisi tunachukua kile tunachokiona. Ikiwa kuna mtu au kundi kunadhihiri kwake shari au Bid´ah, sisi tunatahadharisha watu naye. Ama midhali hadhahirishi kitu, sisi hatupekui yaliyomo kwenye mioyo ya watu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/sisi-tunaangalia-udhahiri-wa-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)