Swali: Baba yangu wakati anapotuamsha katika swalah ya Fajr anatuita kwa kusema “Ee makafiri!”, “Ee mayahudi, amkeni mkaswali!”. Tunaomba umpe nasaha kwa kuwa anatutukana kwa maneno yasiyosemwa na Muislamu. Ni ipi nasaha yako kwake na kwangu?
Jibu: Ni juu yenu kuwa na subira. Lakini amkeni na sio mnabaki kitandani na mnamkasirisha. Hasemi hivi isipokuwa ni kwa sababu ya khasira. Nyinyi harakisheni kuamka ili asitamke matamshi kama haya. Msimkasirishe. Pamoja na hivyo haijuzu kwake kutamka kwa matamshi kama haya. Lakini inawezekana ni kwa sababu ya khasira na hivyo akawa amesema hivo kwa nyinyi kusababisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Baba yangu wakati anapotuamsha katika swalah ya Fajr anatuita kwa kusema “Ee makafiri!”, “Ee mayahudi, amkeni mkaswali!”. Tunaomba umpe nasaha kwa kuwa anatutukana kwa maneno yasiyosemwa na Muislamu. Ni ipi nasaha yako kwake na kwangu?
Jibu: Ni juu yenu kuwa na subira. Lakini amkeni na sio mnabaki kitandani na mnamkasirisha. Hasemi hivi isipokuwa ni kwa sababu ya khasira. Nyinyi harakisheni kuamka ili asitamke matamshi kama haya. Msimkasirishe. Pamoja na hivyo haijuzu kwake kutamka kwa matamshi kama haya. Lakini inawezekana ni kwa sababu ya khasira na hivyo akawa amesema hivo kwa nyinyi kusababisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/baba-anawaamsha-wanawe-kuswali-fajr-kwa-maneno-mazito/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)