Swali: Kuna mwanamke amejitwaharisha na hedhi kisha akaswali. Baada ya hapo akaona rangi ya kucha kwenye makucha yake ambayo amesahau kuindosha kabla ya kuoga. Ni ipi hukumu ya josho lake na swalah yake?
Jibu: Josho lake halikutumia na hovyo swalah yake sio sahihi. Ni juu yake kuondosha rangi ya kucha na aoge upya na aeneze maji mwili wake mzima ikiwa ni pamoja na makucha yake kisha baada ya hapo aswali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Kuna mwanamke amejitwaharisha na hedhi kisha akaswali. Baada ya hapo akaona rangi ya kucha kwenye makucha yake ambayo amesahau kuindosha kabla ya kuoga. Ni ipi hukumu ya josho lake na swalah yake?
Jibu: Josho lake halikutumia na hovyo swalah yake sio sahihi. Ni juu yake kuondosha rangi ya kucha na aoge upya na aeneze maji mwili wake mzima ikiwa ni pamoja na makucha yake kisha baada ya hapo aswali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-ameoga-hedhi-na-amesahau-kuondosha-rangi-ya-kucha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)