Swali: Baadhi ya wanachuoni Yemen wanajuzisha mwanamke kutembelea makaburi. Tunataka Fatwa ya wazi juu ya hilo.
Jibu: Sisi hatujuzishi hilo kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Laana haiwi isipokuwa kwa dhambi kubwa. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-27.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Baadhi ya wanachuoni Yemen wanajuzisha mwanamke kutembelea makaburi. Tunataka Fatwa ya wazi juu ya hilo.
Jibu: Sisi hatujuzishi hilo kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Laana haiwi isipokuwa kwa dhambi kubwa. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-27.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/sisi-hatujuzishi-hilo-kwa-wanawake/