Swali: Msemo huu ni sahihi:
”Aayah zote kuhusu sifa za Allaah (´Azza wa Jall) ni katika Aayah zisizokuwa wazi na hivyo sisi… ”
Jibu: Tunamuomba Allaah usalama. Sifa za Allaah sio katika Aayah zenye kutatiza. Aayah zisizokuwa wazi ni zile ambazo hazijulikani maana yake. Sifa za Allaah zinajulikana maana yake. Mu´tazilah, Ashaa´irah na wapotofu wengine ndio ambao wanaona kuwa sifa za Allaah ni katika Aayah zisizokuwa wazi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 02/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)