Swali: Mimi nafunga siku sita za Shawwaal lakini sifuatanishi masiku. Je, kuna ubaya kwa kufanya hivo?
Jibu: Haina neno ukifunga kwa kufuatanisha au kwa kuachanisha masiku swawm ya Shawwaal. Kwa kuwa Hadiyth imekuja kwa ujumla:
“… na akaifuatanisha na siku sita za Shawwaal.”
Hakusema kwa kufuatanisha. Jambo hili ni sahali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205843
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Mimi nafunga siku sita za Shawwaal lakini sifuatanishi masiku. Je, kuna ubaya kwa kufanya hivo?
Jibu: Haina neno ukifunga kwa kufuatanisha au kwa kuachanisha masiku swawm ya Shawwaal. Kwa kuwa Hadiyth imekuja kwa ujumla:
“… na akaifuatanisha na siku sita za Shawwaal.”
Hakusema kwa kufuatanisha. Jambo hili ni sahali.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205843
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/si-lazima-kufunga-siku-sita-za-shawwaal-kwa-kufuatanisha/