Swali: Mimi nafunga siku sita za Shawwaal lakini sifuatanishi masiku. Je, kuna ubaya kwa kufanya hivo?
Jibu: Haina neno ukifunga kwa kufuatanisha au kwa kuachanisha masiku swawm ya Shawwaal. Kwa kuwa Hadiyth imekuja kwa ujumla:
“… na akaifuatanisha na siku sita za Shawwaal.”
Hakusema kwa kufuatanisha. Jambo hili ni sahali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205843
- Imechapishwa: 03/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)