Swali: Ni ipi hukumu ya sherehe za kuzaliwa ambazo zinafanywa na baadhi ya watu kuwafanyia watoto wao?
Jibu: Yote haya ni katika Bid´ah na kujifananisha [na makafiri]. Wanasema [wanachuoni] kwamba kwa watu wenye dini sherehe ni katika mambo ya ´Ibaadah. Haijuzu kufanya hivi. Ni Bid´ah. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba ni kujifananisha. Lakini uhakika wa mambo ni kwamba ni Bid´ah. Kwa kuwa sherehe ni ´Ibaadah
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya sherehe za kuzaliwa ambazo zinafanywa na baadhi ya watu kuwafanyia watoto wao?
Jibu: Yote haya ni katika Bid´ah na kujifananisha [na makafiri]. Wanasema [wanachuoni] kwamba kwa watu wenye dini sherehe ni katika mambo ya ´Ibaadah. Haijuzu kufanya hivi. Ni Bid´ah. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba ni kujifananisha. Lakini uhakika wa mambo ni kwamba ni Bid´ah. Kwa kuwa sherehe ni ´Ibaadah
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/sherehe-za-kuzaliwa-ambazo-wazazi-wanawafanyia-wanao__trashed/