Swali: Kuuza silaha kipindi cha fitina ni jambo limekatazwa. Je, pia itakuwa haramu ikiwa mtawala atakataza biashara ya silaha maalum katika kipindi kisichokuwa cha fitina?
Jibu: Ndio. Ni lazima kumtii mtawala katika yale mambo yasiyokuwa ya maasi. Haijuzu kumuasi. Mtawala hakatazi kitu isipokuwa ni kwa ajili ya manufaa kwa waislamu na kwa jamii.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 13/04/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket