Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa Allaah yuko pamoja nasi kwa dhati Yake kunakolingana na utukufu Wake?
Jibu: Hili ni kosa. Bali kama walivosema Salaf, upamoja wa ujuzi. Dhati Yake (Subhaanahu wa Ta´ala) iko juu ya ´Arshi.
Swali: Kuna yeyote katika Salaf aliyesema hivo?
Jibu: Simjui yeyote aliyesema hivo. Anayesema hivo atakememewa. Kunapelekea kuchanganyika na viumbe – ametakasika kutokana na hilo. Yuko pamoja na viumbe Wake kwa ujuzi na kuwaona. Haifai kusema kuwa yuko pamoja nao kwa dhati Yake. Yuko juu ya ´Arshi, pamoja na viumbe Wake kwa ujuzi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 204
- Imechapishwa: 23/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)