Swali: Kuna mtu anauliza ni vipi Allaah atakuwa pamoja nasi na wakati huohuo awe juu ya ´Arshi?

Jibu: Ndio. Yuko pamoja nasi kwa ujuzi Wake na kutuona. Kila maneno yana maana yake yanayolingana naye.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 204
  • Imechapishwa: 23/02/2023