Swali: Katika mtaa ninaoeshi kuna baadhi ya watu katika Jamaa´at-ut-Tabliygh na al-Ikhwaan al-Muslimuun. Tunapokutana wakanisalimia huwarudishia salamu, na wanaponipa mkono nami huwapa mkono. Aidha huwapa baadhi ya nasaha kila wakati ninapopata fursa ya kufanya hivo. Baadhi ya ndugu wamenilaumu. Ni zipi nasaha zzako?
Jibu: Hili ni kosa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=icjnMeah_nk
- Imechapishwa: 17/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)