Swali: Je, inafaa kukaa chemba na mahram ambaye hamuogopi Allaah (´Azza wa Jall)?

Jibu: Msingi ni kufaa. Lakini ikiwa unachelea kutoka kwake usikae naye faragha. Akiwa ni mwenye dini kidogo au hana kabisa basi usikae naye chemba. Katika hali hiyo haitojuzu.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21926/حكم-الخلوة-بالمحرم-الذي-لا-يخاف-الله
  • Imechapishwa: 18/12/2022