Swali: Je, inafaa kukaa chemba na mahram ambaye hamuogopi Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Msingi ni kufaa. Lakini ikiwa unachelea kutoka kwake usikae naye faragha. Akiwa ni mwenye dini kidogo au hana kabisa basi usikae naye chemba. Katika hali hiyo haitojuzu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21926/حكم-الخلوة-بالمحرم-الذي-لا-يخاف-الله
- Imechapishwa: 18/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)