Swali: Nimesoma kitabu “Haadi al-Arwaah” kuhusu I´tiqaad ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ya kwamba imani ni kauli na ´amali, inazidi na kupungua na hawasemi kuwa imeumbwa au haikuumbwa. Vipi hili?
Jibu: Kuna faida gani ya kusema imani imeumbwa au haikuumbwa? Kuna haja yepi ya hili? Huku ni kujikalifisha. Salaf hawakuwa wanasema kama imani imeumbwa au haikuumbwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Nimesoma kitabu “Haadi al-Arwaah” kuhusu I´tiqaad ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ya kwamba imani ni kauli na ´amali, inazidi na kupungua na hawasemi kuwa imeumbwa au haikuumbwa. Vipi hili?
Jibu: Kuna faida gani ya kusema imani imeumbwa au haikuumbwa? Kuna haja yepi ya hili? Huku ni kujikalifisha. Salaf hawakuwa wanasema kama imani imeumbwa au haikuumbwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/salaf-hawakuwa-wanasema-kuwa-imani-imeumbwa-au-haikuumbwa/