Swali: Baadhi ya watu pindi msahafu unapowaponyoka wanaubusu. Ni ipi hukumu ya hilo pamoja na kunitajia dalili?
Jibu: Hakuna dalili ya hilo. Kubusu msahafu ni jambo halina dalili. Msahafu ukimponyoka auchukue na kuupandisha. Hili linatosha kuuheshimisha na himdi ni za Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Baadhi ya watu pindi msahafu unapowaponyoka wanaubusu. Ni ipi hukumu ya hilo pamoja na kunitajia dalili?
Jibu: Hakuna dalili ya hilo. Kubusu msahafu ni jambo halina dalili. Msahafu ukimponyoka auchukue na kuupandisha. Hili linatosha kuuheshimisha na himdi ni za Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/hakuna-dalili-ya-kubusu-msahafu-unapomponyoka-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)