Swali: Je, anakata safu mtoto wa kiume asiyeweza kupambanua mambo; kama vile miaka mitatu au minne, katika safu?
Jibu: Maoni ya karibu zaidi na usawa ni kwamba haikati. Ni kama mfano wa jiwe. Lakini bora ikiwa nyuma ya watu ili asiwashawishi waswaliji. Salama zaidi ni pale anapobaki nyumbani au nyuma ya watu ili asiwashawishi waswaliji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22498/هل-يقطع-الصبي-غير-المميز-صف-الصلاة
- Imechapishwa: 17/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)